Fortæl dine venner om denne vare:
Somo la Kushona
Deana Sobel Lederman
Bestilles fra fjernlager
Somo la Kushona
Deana Sobel Lederman
Taa na kelele za ajabu kutoka sebuleni zinamuamsha mhusika mkuu wa hadithi hii. Kuelewa kile kinachoendelea, anaenda chumbani ambapo mama yake alipo, na anamuona mama yake akishona barakoa za kinga. Mama yake anamwambia kwamba kutoka sasa wafanyakazi muhimu wote na wale wote wanaohitaji kusafiri kwenda kazini watahitaji kuvaa barakoa. Anapo tafakari maneno ya mama yake, anaamua ya kwamba yeye pia atavaa barakoa ya rangi nyingi ilioshonwa na mama yake, na anamwomba mama yake amfundishe jinsi ya kushona. Anataka kumshonea babu yake barakoa, na babu yake, akiwa amejazwa na furaha kwa sababu ya kitendo cha fadhili cha mjukuu wake, anamkumbatia alipotoka kazini hospitalini.
Medie | Bøger Paperback Bog (Bog med blødt omslag og limet ryg) |
Udgivet | 24. oktober 2020 |
ISBN13 | 9781636070230 |
Forlag | CALEC |
Antal sider | 26 |
Mål | 216 × 216 × 2 mm · 81 g |
Sprog | Swahili |
Mere med Deana Sobel Lederman
Se alt med Deana Sobel Lederman ( f.eks. Paperback Bog og Bog )